Parokia ya Upanga ilizinduliwa rasmi na Muadhama Kardinali Laurian Rugambwa mwaka 1971. Kabla ya hapo ilikiwa kanisa dogo (Chaplaincy) la jumuiya ya Waitaliani waliokuwa wakiishi mjini Dar es salaam.
Parokia ya Upanga ilizinduliwa rasmi na Muadhama Kardinali Laurian Rugambwa mwaka 1971. Kabla ya hapo ilikiwa kanisa dogo (Chaplaincy) la jumuiya ya Waitaliani waliokuwa wakiishi mjini Dar es salaam.
Jumuiya ya Mlima Yuda Thadei inawaunganisha Wana parokia wanaoishi Mtaa wa Mtitu, Mtaa wa Longido Rangi Barabara ya Umoja wa Mataifa. Jumuiya mmojawapo wanajumuiya takribani 20,
Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA) ni chama cha kitume cha vijana wa Parokia yetu. Vijana wapo hai na mara kwa mara hukutana kwa ajili ya mafundisho mbali mbali ya imani.que sed bibendum velit.
2) Maandalizi ya kiroho ya Wanakipaimara, Wazazi na Wasimamizi yakutakuwa tarehe 2 Septemba 2017 kuanzia saa 3.00 asubuhi. Tunawaomba wote wafike bila kukosa.
Kamati ya Malezi na Familia ya Halmashauri ya walei Parokia ikishirikiana na baba Paroko na Jimbo Kuu la Dar es Salaam inawatangazia waamini wote kuwa kutakuwa na semina ya malezi na Familia itakayoendeshwa hapa Parokiani siku za Jumamosi kuanzia tarehe 9/9/2017. Semina itakuwa ni ya masaa 2 kuanzia saa 9 mchana kwa muda wa miezi 3. Semina ni kwa ajili ya wanandoa wachanga, wale walioandikisha ndoa parokiani hapa na wachumba. Hata hivyo wote tunakaribishwa kwani malezi na familia ni suala linalohusu jamii yote. Tunawaalika hata wale waliohudhuria semina iliyopita lakini kwa sababu moja au nyingine hawakuweza uhudhuria yote. Tunaweza kuwaalika hata wale ambao hawaishi kwenye maeneo ya Parokia yetu.
Jumuiya ya Mt. Yuda Thadei, kwa mara nyingine inakualika kwenye Jumble Sale itakayofanyika siku za Tarehe 09 na 10 September 2017 kuanzia saa mbili asubuhi. Jumble Sale itafanyika nyumba na 412, Barabara ya Umoja wa Mataifa (kwa familia ya Mwenda, pale kwenye Keki). Jumble Sale ni nafasi ya pekee sana kupata vitu vizuri sana kwa bei nafuu kuliko kawaida. Karibuni sana, karibuni wote.
2) Leo mara baada ya Misa ya tatu vijana tutakuwa na ibada ya kuabudu EKARISTI TAKATIFU. Vijana wote mnakaribishwa.
3) Leo katika Misa ya tatu ni zamu ya vijana wa kanda B na wiki ijayo itakuwa ni zamu ya vijana wa kanda C. Mnakumbushwa kuandaa wasomaji wa masomo mapema.
TANGAZO II:
Ndugu ISAAC TITUS CHANZI mwana wa Titus Chanzi na Mama Rosemary Chanzi wa Muhimbili, anatarajia kufunga ndoa na Bi DINA SADA NGOSHANI binti Mmadi Ngoshani na Mama Pauline Ngoshani wa Kijitonyama. Ndoa ni tarehe 11/11/2017.
Ndugu ELIAS mwana wa Zakaria Mabula na Mama Agnes Tindosi wa Mt. Ambros Taghaste, anatarajia kufunga ndoa na Bi HAZINAEL binti George Mchomvu na Mama Sensia Greyson wa Mt. Ambros Taghaste. Ndoa ni January 2018.
TANGAZO III
Ndugu DEOGRATIUS LAZARI mwana wa Lazaro Ndesingo (sasa marehemu) na MamaAurea Ndesario wa Kilema – Moshi, anatarajia kufunga ndoa na Bi BORA OMARY binti Omary Hamisa Ndanyungu (sasa marehemu) na Mama Siya Leonard Mkama wa Kigoma. Ndoa ni tarehe 7/10/2017.
Yeyote mwenye kujua kizuizi cha ndoa hizi atoe taarifa ofisini kwa Paroko.
“Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Kamati ya Malezi na Familia ya Halmashauri ya walei Parokia ikishirikiana na baba Paroko na Jimbo Kuu la Dar es Salaam inawatangazia waamini wote kuwa kutakuwa na semina ya malezi na Familia itakayoendeshwa hapa Parokiani siku za Jumamosi kuanzia tarehe 9/9/2017. Semina itakuwa ni ya masaa 2 kuanzia saa 9 mchana kwa muda wa miezi 3. Semina ni kwa ajili ya wanandoa wachanga, wale walioandikisha ndoa parokiani hapa na wachumba. Hata hivyo wote tunakaribishwa kwani malezi na familia ni suala linalohusu jamii yote. Tunawaalika hata wale waliohudhuria semina iliyopita lakini kwa sababu moja au nyingine hawakuweza uhudhuria yote. Tunaweza kuwaalika hata wale ambao hawaishi kwenye maeneo ya Parokia yetu.
2) Jumapili ijayo Jumuiya ya Mt. Imakulata watauza chai na vitafunwa kila baada ya Misa. Mapato yatatumika kwa ajii ya matendo ya huruma. Wote tunaalikwa kuwaunga mkono.
2) Leo vijana tutaangalia movie ya maisha ya Mtakatifu PIO Yenye mafunzo mbalimbali Vijana wote tunakaribishwa.
3) Leo katika Misa ya tatu ni zamu ya vijana wa kanda A na wiki ijayo itakuwa ni zamu ya vijana wa kanda B. Mnakumbushwa kuandaa wasomaji wa masomo mapema.
Ndugu ELIAS mwana wa Zakaria Mabula na Mama Agnes Tindosi wa Mt. Ambros Taghaste, anatarajia kufunga ndoa na Bi HAZINAEL binti George Mchomvu na Mama Sensia Greyson wa Mt. Ambros Taghaste. Ndoa ni January 2018.
TANGAZO II
Ndugu DEOGRATIUS LAZARI mwana wa Lazaro Ndesingo (sasa marehemu) na MamaAurea Ndesario wa Kilema – Moshi, anatarajia kufunga ndoa na Bi BORA OMARY binti Omary Hamisa Ndanyungu (sasa marehemu) na Mama Siya Leonard Mkama wa Kigoma. Ndoa ni tarehe 7/10/2017.
TANGAZO III
Ndugu JOHN GODFREY RUPIA mwana wa Steven Thomas Rupia na Mama Florah Anitha Rupia wa Anglikana, anatarajia kufunga ndoa na Bi JESSICA MWASARA binti Hussein Yusuf Mwasara na Mama Grace Simon Gumbo wa Upanga. Ndoa ni tarehe 21 October 2017.
Ndugu AMEDEUS TUKUNJOBA mwana wa Lekha Tukunjoba na Mama Joyce Nchimbi wa Kijichi, anatarajia kufunga ndoa na Bi GLORIA MUNENI binti Angelo Muneni na Mama Godliva Makoko wa Upanga. Ndoa ni tarehe 28/10/2017.
“Imani yako ni kubwa, na iwe kwako kama utakavyo.”
PAROKIA YA UPANGA